MENU

Uncategorized

KITILA MKUMBO AZINDUA ZOEZI LA ZOEZI LA KUANGAMIZA MBU JIMBO LA UBUNGO

Waziri wa Uwekezaji Mhe. Prof. Kitila Mkumbo amezindua rasmi zoezi la unyunyiziaji wa dawa za viuadudu vinavyozalishwa na kiwanda cha TBPL kilichoko Kibaha mkoani Pwani kwa ajili ya unyunyiziaji katika jimbo la uchaguzi la Ubungo ikiwa ni hatua ya kuunga mkono juhudi za serikali katika kupambana na magonjwa yaenezwayo na mbu ikiwemo Malaria, Kikungunya pamoja […]

KITILA MKUMBO AZINDUA ZOEZI LA ZOEZI LA KUANGAMIZA MBU JIMBO LA UBUNGO Read More »

DOCTORS WITHOUT BORDERS FRONTLINE IN FIGHT AGAINST MALARIA

The non-governmental organization Doctors Without Borders has purchased a total of 3,500 liters of anti-malarial drugs from the Tanzania Biotech Product Limited (TBPL) factory owned by the National Development Corporation (NDC), located in Kibaha, Pwani Region. Speaking during the handover, the Head of Marketing Unit at TBPL, Samuel Mziray, expressed satisfaction with the steps taken

DOCTORS WITHOUT BORDERS FRONTLINE IN FIGHT AGAINST MALARIA Read More »

TAARIFA YA MKURUGENZI MWENDESHAJI WA SHIRIKA LA TAIFA LA MAENDELEO (NDC) DKT. NICOLAUS SHOMBE AKIZUNGUMZA NA KUHUSU UTEKELEZAJI NA VIPAUMBELE VYA SHIRIKA KWA MWAKA 2023/2024

Ndugu Waandishi wa Habari, 1.1 Awali ya yote napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema kwa kutujalia uzima na kutukutanisha leo hii tukiwa buheri wa afya. Nawashukuru sana pia Wanahabari wote kwa kuitikia mwito kuu. Kwa Serikali na sisi wana NDC tunaamini kuwa ninyi ni wadau muhimu sana kwani kupitia kwenu, taarifa mbalimbali zinazohusu Nchi

TAARIFA YA MKURUGENZI MWENDESHAJI WA SHIRIKA LA TAIFA LA MAENDELEO (NDC) DKT. NICOLAUS SHOMBE AKIZUNGUMZA NA KUHUSU UTEKELEZAJI NA VIPAUMBELE VYA SHIRIKA KWA MWAKA 2023/2024 Read More »

NDC FINALIZATION OF THE COMPENSATION PROCESS FOR LIGANGA AND MCHUCHUMA PROJECTS

In a significant development today, the National Development Corporation (NDC) Managing Director, Dr. Nicolaus Shombe, engaged in discussions with Business Magazine Managing Director, Faraja Mgwabati, to shed light on the latest progress regarding the compensation payment process associated with the Liganga and Mchuchuma projects. These projects, poised to be game-changers for the nation, have been

NDC FINALIZATION OF THE COMPENSATION PROCESS FOR LIGANGA AND MCHUCHUMA PROJECTS Read More »

Auction Sale of Rubber by the National Development Corporation (NDC)

The National Development Corporation (NDC) hereby announces that from time to time it will conduct an auction for the sale of rubber and caplum depending on their availability from its Two rubber plantations, Kihuhwi in Tanga region and Kalunga in Morogoro region. We invite all interested parties to participate in this auction and submit their

Auction Sale of Rubber by the National Development Corporation (NDC) Read More »

LIGANGA, MCHUCHUMA MAMBO MSWANO

Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan amewahakikishia Watanzania  kuanza  kwa utekelezaji wa miradi mikubwa wa Liganga na Mchuchuma Wilayani Ludewa Mkoani Njombe baada ya kuanza ulipaji fidia kwa wananchi. Akizungumza kwa njia ya simu na wananchi wakati wa hafla ya uzinduzi wa zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi waliopisha maeneo yenye

LIGANGA, MCHUCHUMA MAMBO MSWANO Read More »