
Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kupitia kiwanda chake cha Tanzania Biotech Products Limited (TBPL), wanazalisha viuadudu mahususi kwa ajili ya kuangamiza viluwiluwi wa mbu waenezao magonjwa mbalimbali kama Malaria, Dengue, Matende na Mabusha.
Viuadudu hivi huwekwa kwenye maji masafi au machafu mahala ambapo mbu anaweza kutaga mayai yake. Maeneo hayo ni kama makaro ya vyoo, mabwawa ya samaki na mashamba ya mpunga, madimbwi hata maji kwa ajili ya matumizi ya nyumbani.
Bei zetu za viuadudu.
30ml - 1,000
1 Ltr - 13,200
5 Ltr - 66,000
20 Ltr - 264,000
Kwa msaada na uhitaji wa viuadudu, wasiliana nasi kwa namba;
0745 312 961
0766865567
0743 048 651
0762326094