ABOUT US

The National Development Corporation (NDC) is a leading industrial development.

The National Development Corporation (NDC) is a leading industrial development and promotion organization established in 1962 as Tanganyika Development Corporations (TDC) by an Act of Parliament to fill the gap of financing critical development projects and take over the colonial development corporation (CDC) formed in 1950. In 1965, NDC was re established by the government to catalyze economic development in all sectors of the economy...

NEWS AND UPDATES

NDC, TEMDO KUSHIRIKIANA KUZALISHA MITAMBO

Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) limeingia makubaliano ya ushrikiano na Taasisi ya Uhandisi na Usanifu wa Mitambo (TEMDO) katika maeneo mbalimbali ikiwemo eneo la utafiti , kubadilishana ujuzi pamoja na kuongeza uzalishaji katika kiwanda cha KMTC, cha mkoani Kilimanjaro kinacho milikiwa na NDC.Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa utiaji saini wa makubaliano hayo Mkurugenzi Mwendeshaji wa NDC, Dkt. Nicolaus Shombe amesema  makubaliano hayo yatasaidia kuongeza ufanisi katika uzalishaji pamoja na kupunguza gharama za kuagiza mitambo kutoka nje ya nchi.Ameongeza kuwa TEMDO wanauwezo wa kuzalisha mitambo sita kwa mwaka hivyo kwa kushirikiana nao wataweza kuzalisha mitandambo mingi na kuuza mpaka nje ya mipaka ya Tanzania. "Eneo kubwa kuliko yote ni eneo la utaalamu. Wataalamu wetu wanaweza kwendai TEMDO kujifunza na wao wakaja kwetu  kujifunza vitu mbalmbali" amesema Dkt. Shombe.Kwa upande wake Mkurugenzi wa  TEMDO Profesa Fredrick Kahimba amesema matarajio ya mashirikiano katika taasisi hizo mbili ni pamoja na kuongeza ubora wa bidhaa , kupunguza matumizi ya fedha za kigeni na kuzalisha ajira kwa watanzania."Kwa kushirikiana na KMTC tutaweza kutengeneza minara ya umeme ambayo tulikuw tunanunu kwa bei ya juu sana nje ya nchi, lakini pia itakapotaka kutengenezwa tutakuwa tunatengeneza hapa hapa kwahiyo tutakuwa tumeisaidia Serikali kwa kiwango kikubwa sana," amesema Professa Kahimba. 

KEY PROJECTS

The Corporation intends to establish large scale commercial farming of Oil Palm and refinery plant in Kigoma Region in partnership with strategic private investment partner. This follows a feasibility study conducted for establishment of the project in the Coast Region.

  • AGRO INDUSTRIES

    Intergrated Oil Palm and Edible Oil Production Project. The Corporation intends to establish large


  • BIOLOGICAL INDUSTRIES

    The Biolarvicides Project - Tanzania Biotech Products Limited (TBPL) is a subsidiary company of National Development


  • CHEMICAL INDUSTRIES

    Engaruka Basin Soda Ash Project - The project is located at Engaruka Basin, Monduli District, Arusha Region about 160 km


  • IRON AND STEEL METALLURGICAL COMPLEX

    Liganga Iron and Steel project - The project is located at Liganga area, Ludewa District, Njombe Region about 850


  • POWER PRODUCTION

    Mchuchuma Coal to electricity Project - The project is located at Mchuchuma area, Ludewa District, Njombe Region about 950 km


DAR YASIMAMA MBU WA MALARIA WAKITOKOMEZWA