MENU

Habari

DKT. KIJAJI AITAKA NDC KUZALISHA VIUATILIFU VYA VYA KUTOSHA KATIKA MSIMU HUU WA KILIMO

Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji amekitaka kiwanda Cha Viuatilifu vya kuua mazalia ya Mbu (TBPL) kilichopo Kibaha Mkoani Pwani kuzalisha bidhaa za Viuatilifu hai kwa ajili ya Msimu huu wa Kilimo kuanzia mwezi Oktoba Mwaka huu. Dkt. Kijaji ametoa maelekezo hayo Septemba 21, 2023 wakati akizungumza na Uongozi, Watumishi na Waandishi wa …

DKT. KIJAJI AITAKA NDC KUZALISHA VIUATILIFU VYA VYA KUTOSHA KATIKA MSIMU HUU WA KILIMO Read More »

WAZIRI KIJAJI ASHUHUDIA UTIAJI SAINI WA MIKATABA YA UCHIMBAJI MAKAA YA MAWE

WAZIRI wa Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji ameshuhudia utiaji saini wa Mikataba ya Uchimbaji wa Makaa ya Mawe kwa wachimbaji wazawa katika Mradi wa mchuchuma baina ya Serikali kupitia Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) pamoja na Makampuni Matano ya wazawa yaliyoshinda zabuni hiyo, katika hafla ambayo imefanyika jijini Dar es Salaam. Akizungumza na …

WAZIRI KIJAJI ASHUHUDIA UTIAJI SAINI WA MIKATABA YA UCHIMBAJI MAKAA YA MAWE Read More »

ORBIT SECURITIES COMPANY ENGAGES NDC IN DIVERSE OPPORTUNITIES

In a promising development for the Tanzanian business landscape, representatives from Orbit Security paid a courtesy call to Dr. Nicolaus Shombe, Managing Director of the National Development Corporation (NDC). The meeting, held at the NDC headquarters in Dar es Salaam, was characterized by a spirited discussion on various opportunities, including the possibility of the Kilimanjaro …

ORBIT SECURITIES COMPANY ENGAGES NDC IN DIVERSE OPPORTUNITIES Read More »

DR. HASHIL ABDALLAH LAUNCHES NEW TBPL BOARD

The Permanent Secretary of the Ministry of Industry and Trade, Dr. Hashil Abdallah, has officially launched the new Board of Directors for the Tanzania Biotech Products Limited (TBPL), a manufacturing plant located in Kibaha, Pwani region. During the launch, he urged the board to work diligently in supporting the 6th Government under the leadership of …

DR. HASHIL ABDALLAH LAUNCHES NEW TBPL BOARD Read More »

NDC NA SADC-DFRC KUJENGA USHIRIKIANO

Mkurugenzi Mwendeshaji wa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC), Dkt. Nicolaus Shombe,  amefanya mazungumzo na Bw. Stuart Kufen, Mkurugenzi Mtendaji wa SADC Development Finance Resources Centre (SADC-DFRC), jijini Dar es Salaam kujadili ushirikiano wa kimkakati baina ya NDC na SADC-DFRC katika nyanja ya uandaaji wa miradi na kuongeza ujuzi. Kikao hicho pia kiliudhuriwa na Mkurugenzi …

NDC NA SADC-DFRC KUJENGA USHIRIKIANO Read More »

NDC YASHIRIKI KATIKA KAMPENI YA AFYA CHECK

Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) limeshiriki katika kampeni maalum ya Afya Check iliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam, kampeni ambayo imewakutanisha wananchi kutoka maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam kwa lengo la kupima afya zao pamoja na kupatiwa matibabu ya magonjwa bure. Akizungumza katika kampeni hiyo Mkurugenzi wa …

NDC YASHIRIKI KATIKA KAMPENI YA AFYA CHECK Read More »

NDC PARTICIPATES IN THE HEALTH CHECK CAMPAIGN

The National Development Corporation (NDC) has participated in a special health check campaign held at Mnazi Mmoja grounds in Dar es Salaam. The campaign brought together citizens from various areas of the city with the aim of getting their health checked and receiving free treatment for diseases. Speaking at the campaign, the Director of Finance …

NDC PARTICIPATES IN THE HEALTH CHECK CAMPAIGN Read More »

NDC, TEMDO KUENDELEZA USHIRIKIANO

Mkurugenzi Mwendeshaji wa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC), Dkt. Nicolaus Shombe amefanya mazungumzo  na  Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Zana za Kilimo na Teknlojia Vijijini, (CAMARTEC), Mha. Pythias Ntela, kikao kilicho dhamiria kuongeza uzalishaji wa vipuri vya mashine pamoja na vyombo vya moto kupitia kiwanda cha KMTC kiwanda kilichopo mkoani Kilimanjaro. Mkurugenzi Mwendeshaji …

NDC, TEMDO KUENDELEZA USHIRIKIANO Read More »

LIGANGA, MCHUCHUMA MAMBO MSWANO

Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan amewahakikishia Watanzania  kuanza  kwa utekelezaji wa miradi mikubwa wa Liganga na Mchuchuma Wilayani Ludewa Mkoani Njombe baada ya kuanza ulipaji fidia kwa wananchi. Akizungumza kwa njia ya simu na wananchi wakati wa hafla ya uzinduzi wa zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi waliopisha maeneo yenye …

LIGANGA, MCHUCHUMA MAMBO MSWANO Read More »