MENU

Habari

WAZIRI JAFO AZITAKA HALMASHAURI NCHINI KUTOKOMEZA MALARIA

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo amezitaka halmashauri zote nchini kununua viuadudu vya kuangamiza mazalia ya mbu ili kuondokana na ugonjwa wa malaria nchini. Waziri Jafo ameyasema hayo wakati wa ziara yake ya kikazi kiwanda cha kuzalisha bidhaa za kibaiolojia cha Tanzania Biotech Products Limited (TBPL), kilichopo Kibaha mkoani Pwani. Ameeleza kuwa […]

WAZIRI JAFO AZITAKA HALMASHAURI NCHINI KUTOKOMEZA MALARIA Read More »

NDC KUISAIDIA UGANDA KUANGAMIZA MAZALIA YA MBU

Ujumbe kutoka Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC), ukiongozwa na Kaimu Mkurugenzi wa Viwanda vya Kuongeza Thamani (DSV), Esther Mwaigomole umefanya mazungumzo ya kibiashara na Mwakilishi wa Balozi wa Uganda, Mwambata Jeshi, Brigedia. Ronald Bigirwa, mazungumzo yaliyolenga kuuza bidhaa za kibaiolojia za kuangamiza mazalia ya mbu na za kuangamiza wadudu dhurifu kwenye mazao. Kikao kilichofanyika

NDC KUISAIDIA UGANDA KUANGAMIZA MAZALIA YA MBU Read More »

HOTUBA YA MHESHIMIWA DKT. ASHATU K. KIJAJI (MB.), WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2024/2025

HOTUBA YA MHESHIMIWA DKT. ASHATU K. KIJAJI (MB.), WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2024/2025 HOTUBA FUPI YA BAJETI – 2024-2025 – FINAL 21.05.2024 Read

HOTUBA YA MHESHIMIWA DKT. ASHATU K. KIJAJI (MB.), WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2024/2025 Read More »

TAARIFA KWA UMMA NDC YAWAVUTA WAWEKEZAJI KUTOKA CHINA KUWEKEZA NCHINI

Wawekezaji kutoka nchini China wakiongozwa na komrade Shen Dong, Mwenyekiti wa Chama cha Kikomunisti cha nchini humo kutoka wilaya ya Zhonglou wamevutiwa na fursa za uwekezaji zilizopo Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) hasa kwenye sekta ya viwanda, madini na nishati na kuonesha nia ya kuja kuwekeza kwenye sekta hizo. Komrade Shen Dong amesema hali

TAARIFA KWA UMMA NDC YAWAVUTA WAWEKEZAJI KUTOKA CHINA KUWEKEZA NCHINI Read More »

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YAKOSHWA NA KIWANDA CHA KUTENGENEZA VIPURI KMTC- MOSHI

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo, Mifugo na Uvuvi ikiongozwa na Mwenyekiti wa kamati hiyo Mbunge wa Njombe mjini, Mhe. Deo Mwanyika wamepongeza jitihada zinazofanywa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) katika kuhakikisha kuwa kiwanda cha KMTC kinaboreshwa na kuendelea na uzalishaji wa vipuri pamoja na mashine mbalimbali kama ilivyokusudiwa wakati

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YAKOSHWA NA KIWANDA CHA KUTENGENEZA VIPURI KMTC- MOSHI Read More »

AFRICAN ASSAY LABORATORIES (T) LTD PAYS A COURTESY CALL TO NDC

Tanzania’s government investment wing, the National Development Corporation (NDC), held a meeting with African Assay Laboratories Ltd. in Dar es Salaam to discuss potential investment opportunities. The meeting was hosted by Dr. Nicolaus Shombe, NDC Managing Director, who unified a long-standing business partnership between NDC and African Assay Laboratories Ltd. The meeting focused on fostering

AFRICAN ASSAY LABORATORIES (T) LTD PAYS A COURTESY CALL TO NDC Read More »

UZALISHAJI WA BIDHAA ZA KIBAIOLOJIA KUONGEZEKA

Makamu wa Rais wa Cuba, Mhe. Salvador Valdes Mesa amesema Serikali ya Cuba itaendelea kutoa utaalam kwa kiwanda cha kuzalisha bidhaa za Kibaiolojia – Tanzania Biotech Products Limited (TBPL) cha Kibaha – Pwani, ili kizalishe bidhaa nyingi za kibaiolojia mbali na uzalishaji wa viuadudu vya kuangamiza mazalia ya mbu na viuatilifu vya kupambana na wadudu

UZALISHAJI WA BIDHAA ZA KIBAIOLOJIA KUONGEZEKA Read More »

RAIS WA LABIOFAM YA CUBA KIWANDANI TBPL

Kiwanda pekee barani Afrika cha kuzalisha viuadudu vya kuangamiza mazalia ya mbu, Tanzania Biotech Products Limited (TBPL), kimetembelewa na Rais wa Labiofam kutoka Cuba, Rodi Valdes Ortiz ikiwa ni ziara ya kujionea utendaji kazi wa kiwanda hicho kilichopo Kibaha, mkoani Pwani. Akiwa kiwandani hapo amefanya mazungumzo na Menejimenti ya TBPL pamoja na watendaji wa NDC

RAIS WA LABIOFAM YA CUBA KIWANDANI TBPL Read More »

MRADI WA MAGADI SODA KUWEKA HISTORIA MPYA

Serikali imewataka Viongozi wa Taasisi zinazohusika na Mradi wa Kimkakati wa Magadi Soda uliopo Engaruka Wilayani Monduli Mkoani Arusha kushirikiana kwa karibu katika kukamilisha taratibu zote zinazohitajika ili Mradi huo unaotarajiwa kuongeza ajira, malighafi za viwandani, kukuza biashara na uchumi wa Taifa uanze kutekelezwa kwa wakati. Hayo yamesemwa  Desemba, 21,2023 na Katibu Mkuu wa Wizara

MRADI WA MAGADI SODA KUWEKA HISTORIA MPYA Read More »