NDC YAREJESHA MATUMAINI KWA WANAKIJIJI WA IKOMELA, MBOZI, MKOANI SONGWE.
Wakulima wa Kijiji cha Ikomela kilichopo Wilaya ya Mbozi, Mkoa wa Songwe, kwa kushirikiana na timu ya wataalamu kutoka kiwanda cha Tanzania Biotech Products Limited (TBPL),kampuni tanzu ya Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) – pamoja na wataalamu kutoka TPHPA Mbeya, walifanya ziara maalum ya kutembelea na kufuatilia maendeleo ya shamba lililokuwa limeathiriwa na wadudu […]
NDC YAREJESHA MATUMAINI KWA WANAKIJIJI WA IKOMELA, MBOZI, MKOANI SONGWE. Read More »










