KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YAKOSHWA NA KIWANDA CHA KUTENGENEZA VIPURI KMTC- MOSHI
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo, Mifugo na Uvuvi ikiongozwa na Mwenyekiti wa kamati hiyo Mbunge wa Njombe mjini, Mhe. Deo Mwanyika wamepongeza jitihada zinazofanywa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) katika kuhakikisha kuwa kiwanda cha KMTC kinaboreshwa na kuendelea na uzalishaji wa vipuri pamoja na mashine mbalimbali kama ilivyokusudiwa wakati […]
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YAKOSHWA NA KIWANDA CHA KUTENGENEZA VIPURI KMTC- MOSHI Read More »