MENU

Jacob Maganga

CHUSA MINING WAMOTO

Kampuni ya Chusa Mining inaendelea na zoezi la uchorongaji wa miamba ya makaa ya mawe, kwenye mgodi wa Mchuchuma – Ludewa, Njombe. Katika hatua hiyo wanafanya utafiti wa kutambua miamba mbalimbali (lithological loggging). Mjiolojia wa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC), Alfred Kawono (kushoto) akiwa na mtaalam wa kutoka kampuni ya Chusa Mining wakifanya lithological

CHUSA MINING WAMOTO Read More »

TAARIFA YA MKURUGENZI MWENDESHAJI WA SHIRIKA LA TAIFA LA MAENDELEO (NDC) DKT. NICOLAUS SHOMBE AKIZUNGUMZA NA KUHUSU UTEKELEZAJI NA VIPAUMBELE VYA SHIRIKA KWA MWAKA 2023/2024

Ndugu Waandishi wa Habari, 1.1 Awali ya yote napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema kwa kutujalia uzima na kutukutanisha leo hii tukiwa buheri wa afya. Nawashukuru sana pia Wanahabari wote kwa kuitikia mwito kuu. Kwa Serikali na sisi wana NDC tunaamini kuwa ninyi ni wadau muhimu sana kwani kupitia kwenu, taarifa mbalimbali zinazohusu Nchi

TAARIFA YA MKURUGENZI MWENDESHAJI WA SHIRIKA LA TAIFA LA MAENDELEO (NDC) DKT. NICOLAUS SHOMBE AKIZUNGUMZA NA KUHUSU UTEKELEZAJI NA VIPAUMBELE VYA SHIRIKA KWA MWAKA 2023/2024 Read More »

NDC IZALISHE VIUATILIFU VYA VYA KUTOSHA MSIMU WA KILIMO

Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji amekitaka kiwanda Cha Viuatilifu vya kuua mazalia ya Mbu (TBPL) kilichopo Kibaha Mkoani Pwani kuzalisha bidhaa za Viuatilifu hai kwa ajili ya Msimu huu wa Kilimo kuanzia mwezi Oktoba Mwaka huu. Dkt. Kijaji ametoa maelekezo hayo Septemba 21, 2023 wakati akizungumza na Uongozi, Watumishi na Waandishi wa

NDC IZALISHE VIUATILIFU VYA VYA KUTOSHA MSIMU WA KILIMO Read More »

WAZIRI KIJAJI ASHUHUDIA UTIAJI SAINI WA MIKATABA YA UCHIMBAJI MAKAA YA MAWE

WAZIRI wa Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji ameshuhudia utiaji saini wa Mikataba ya Uchimbaji wa Makaa ya Mawe kwa wachimbaji wazawa katika Mradi wa mchuchuma baina ya Serikali kupitia Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) pamoja na Makampuni Matano ya wazawa yaliyoshinda zabuni hiyo, katika hafla ambayo imefanyika jijini Dar es Salaam. Akizungumza na

WAZIRI KIJAJI ASHUHUDIA UTIAJI SAINI WA MIKATABA YA UCHIMBAJI MAKAA YA MAWE Read More »

ORBIT SECURITIES COMPANY ENGAGES NDC IN DIVERSE OPPORTUNITIES

In a promising development for the Tanzanian business landscape, representatives from Orbit Security paid a courtesy call to Dr. Nicolaus Shombe, Managing Director of the National Development Corporation (NDC). The meeting, held at the NDC headquarters in Dar es Salaam, was characterized by a spirited discussion on various opportunities, including the possibility of the Kilimanjaro

ORBIT SECURITIES COMPANY ENGAGES NDC IN DIVERSE OPPORTUNITIES Read More »

NDC FINALIZATION OF THE COMPENSATION PROCESS FOR LIGANGA AND MCHUCHUMA PROJECTS

In a significant development today, the National Development Corporation (NDC) Managing Director, Dr. Nicolaus Shombe, engaged in discussions with Business Magazine Managing Director, Faraja Mgwabati, to shed light on the latest progress regarding the compensation payment process associated with the Liganga and Mchuchuma projects. These projects, poised to be game-changers for the nation, have been

NDC FINALIZATION OF THE COMPENSATION PROCESS FOR LIGANGA AND MCHUCHUMA PROJECTS Read More »

Auction Sale of Rubber by the National Development Corporation (NDC)

The National Development Corporation (NDC) hereby announces that from time to time it will conduct an auction for the sale of rubber and caplum depending on their availability from its Two rubber plantations, Kihuhwi in Tanga region and Kalunga in Morogoro region. We invite all interested parties to participate in this auction and submit their

Auction Sale of Rubber by the National Development Corporation (NDC) Read More »