NDC HATUNA MSONGO WA MAWAZO
Mabalozi 7 wa nchi za Afrika zikiwemo Afrika kusini, Sudan ya Kusini, Nigeria, Saharawi, Comoro, Msumbiji na Zambia wakiwa wameambatana na Balozi wa Cuba nchini Tanzania, Mhe. Yordenis Despaigne wametembelea kiwanda cha kibaiolojia cha kuzalisha viuadudu vya kuangamiza mazalia ya mbu, Tanzania Biotech Products Limited (TBPL), cha Kibaha, Pwani na kuipongeza Serikali ya Tanzania kupitia Shirika la […]
NDC HATUNA MSONGO WA MAWAZO Read More »