#ndc #sadc #sadcdfrc #maendeleo #investment #uwekezaji #nationaldevelopmentcorporation

TaFF yaitembelea NDC kufanya tathmini ya Mradi wa upandaji miti ya mpira

Mapema leo hii 15/10/2025 NDC yapokea ugeni kutoka mfuko wa misitu Tanzania (TaFF ) ikiwa ni muendelezo wa ushirikiano wa taasisi hizo mbili, ugeni huo ulikuwa na lengo la kufanya tathmini ili kujua changamoto maoni na mapendekezo katika kutekeleza mradi wa kuendeleza shamba la miti ya mpira liliyopo Kalunga mkoani Morogoro Ushirikiano huo ulikuja baada […]

TaFF yaitembelea NDC kufanya tathmini ya Mradi wa upandaji miti ya mpira Read More »

AFRICAN ASSAY LABORATORIES (T) LTD PAYS A COURTESY CALL TO NDC

Tanzania’s government investment wing, the National Development Corporation (NDC), held a meeting with African Assay Laboratories Ltd. in Dar es Salaam to discuss potential investment opportunities. The meeting was hosted by Dr. Nicolaus Shombe, NDC Managing Director, who unified a long-standing business partnership between NDC and African Assay Laboratories Ltd. The meeting focused on fostering

AFRICAN ASSAY LABORATORIES (T) LTD PAYS A COURTESY CALL TO NDC Read More »

NDC NA SADC-DFRC KUJENGA USHIRIKIANO

Mkurugenzi Mwendeshaji wa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC), Dkt. Nicolaus Shombe,  amefanya mazungumzo na Bw. Stuart Kufen, Mkurugenzi Mtendaji wa SADC Development Finance Resources Centre (SADC-DFRC), jijini Dar es Salaam kujadili ushirikiano wa kimkakati baina ya NDC na SADC-DFRC katika nyanja ya uandaaji wa miradi na kuongeza ujuzi. Kikao hicho pia kiliudhuriwa na Mkurugenzi

NDC NA SADC-DFRC KUJENGA USHIRIKIANO Read More »