NDC IZALISHE VIUATILIFU VYA VYA KUTOSHA MSIMU WA KILIMO

Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji amekitaka kiwanda Cha Viuatilifu vya kuua mazalia ya Mbu (TBPL) kilichopo Kibaha Mkoani Pwani kuzalisha bidhaa za Viuatilifu hai kwa ajili ya Msimu huu wa Kilimo kuanzia mwezi Oktoba Mwaka huu. Dkt. Kijaji ametoa maelekezo hayo Septemba 21, 2023 wakati akizungumza na Uongozi, Watumishi na Waandishi wa […]

NDC IZALISHE VIUATILIFU VYA VYA KUTOSHA MSIMU WA KILIMO Read More ยป