NDC yaimarisha azma za viwanda kupitia mazungumzo ya kimkakati kuhusu uwekezaji katika miradi yake ya chuma.
Mkurugenzi wa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC), Dkt. Nicolaus Shombe, amekutana na ujumbe kutoka kampuni ya Hong De Sheng ya nchini China kwa lengo la kujadili na kupata uelewa wa kina kuhusu miradi inayosimamiwa na shirika hilo hapa nchini. Mazungumzo hayo yamelenga zaidi sekta ya chuma ambayo ina nafasi kubwa katika kukuza uchumi wa […]










