Wizara ya Viwanda na Biashara Kuitengea KMTC Manufacturing Limited Pesa Zaidi
Wizara ya Viwanda na Biashara kukitengea kiwanda cha KMTC Manufacturing Limited Bilioni 5 ili kuongeza uwekezaji katika mashine za teknolojia ya kisasa. Akizungumza kuhusu mpango huo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Mhe. Balozi Waziri Salum, amesema serikali imeona umuhimu wa kuboresha miundombinu ya uzalishaji kwa kuongeza mashine za kisasa ili kuongeza ufanisi […]
Wizara ya Viwanda na Biashara Kuitengea KMTC Manufacturing Limited Pesa Zaidi Read More »










