NDC yaeleza mafanikio na mwelekeo wa miradi ya kimkakati nchini.
Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC) limeeleza hatua kubwa iliyofikiwa katika utekelezaji wa miradi ya kimkakati, likisisitiza mchango wake katika kukuza uchumi wa Tanzania na kuifanya nchi kufikia uchumi wa kati wa viwanda. Akizungumza katika mahojiano ya moja kwa moja na kituo cha televisheni cha Radit One, Mkurugenzi wa Viwanda wa NDC, Dkt. Mtoni, […]
NDC yaeleza mafanikio na mwelekeo wa miradi ya kimkakati nchini. Read More »










