WAZIRI KAPINGA AIPONGEZA TBPL KWA UWEKEZAJI WA MBOLEA HAI, ATAKA KUONGEZA UZALISHAJI NA MASOKO
Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, ameipongeza kampuni ya Tanzania Biotech Products Limited (TBPL) kwa uwekezaji wake katika uzalishaji wa mbolea hai, akisema hatua hiyo itasaidia kuongeza thamani ya rasilimali za ndani, kupunguza utegemezi wa bidhaa kutoka nje ya nchi na kuchochea ukuaji wa uchumi wa taifa. Akizungumza katika hafla ya utiaji saini wa […]










