VIONGOZI LABIOFARM CUBA WATEMBELEA KIWANDA CHA TBPL
Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kupitia Kampuni tanzu inayozalisha viuatilifu hai TBPL iliyopo Kibaha mkoani Pwani imepokea ugeni kutoka Labiofam nchini Cuba, waliofanya Ziara kikazi ya siku tatu ikiwa ni pamoja na kutembelea kiwanda cha uzalishaji wa bidhaa za kibiolojia cha TBPL kilichoko Kibaha mkoani Pwani ikiwa ni matunda ya Ziara iliyofanyika Mapema mwezi […]
VIONGOZI LABIOFARM CUBA WATEMBELEA KIWANDA CHA TBPL Read More »