Ufufuaji wa KMTC wachochea kasi ya uchumi wa viwanda
Hatua ya Serikali kufufua na kuwekeza upya katika Kiwanda cha KMTC Manufacturing Limited kilichopo Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro, imeanza kuzaa matunda baada ya kuimarisha uzalishaji wa mashine na vipuri vya viwandani, kupanua ajira na kupunguza utegemezi wa bidhaa kutoka nje ikiwa ni nguzo muhimu ya kujenga uchumi wa viwanda nchini. Kiwanda hicho cha […]
Ufufuaji wa KMTC wachochea kasi ya uchumi wa viwanda Read More »










