Innocent

NDC yaeleza mafanikio na mwelekeo wa miradi ya kimkakati nchini.

  Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC) limeeleza hatua kubwa iliyofikiwa katika utekelezaji wa miradi ya kimkakati, likisisitiza mchango wake katika kukuza uchumi wa Tanzania na kuifanya nchi kufikia uchumi wa kati wa viwanda. Akizungumza katika mahojiano ya moja kwa moja na kituo cha televisheni cha Radit One, Mkurugenzi wa Viwanda wa NDC, Dkt. Mtoni, […]

NDC yaeleza mafanikio na mwelekeo wa miradi ya kimkakati nchini. Read More »

NDC YAREJESHA MATUMAINI KWA WANAKIJIJI WA IKOMELA, MBOZI, MKOANI SONGWE.

Wakulima wa Kijiji cha Ikomela kilichopo Wilaya ya Mbozi, Mkoa wa Songwe, kwa kushirikiana na timu ya wataalamu kutoka kiwanda cha Tanzania Biotech Products Limited (TBPL),kampuni tanzu ya Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) – pamoja na wataalamu kutoka TPHPA Mbeya, walifanya ziara maalum ya kutembelea na kufuatilia maendeleo ya shamba lililokuwa limeathiriwa na wadudu

NDC YAREJESHA MATUMAINI KWA WANAKIJIJI WA IKOMELA, MBOZI, MKOANI SONGWE. Read More »

WAFANYAKAZI WANAWAKE NDC WATOA MSAADA KWA WANAWAKE WALIOPO GEREZA LA SEGEREA

Wanawake wa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) leo wametembelea Gereza la Wanawake Segerea, Ilala jijini Dar es Salaam na kukabidhi msaada wa vifaa mbalimbali kwa mahabusu wanawake waliopo gerezani hapo. Msaada huo ulijumuisha sabuni, taulo za kike, sukari na mifagio ikiwa ni sehemu ya mchango wa NDC katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya Siku

WAFANYAKAZI WANAWAKE NDC WATOA MSAADA KWA WANAWAKE WALIOPO GEREZA LA SEGEREA Read More »

Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) Kugawa Miche 193,000 ya Mpira Bure

Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) limeandika historia mpya katika kata ya Mwaya, Kilombero, mkoani Morogoro kufuatia kufanyika kwa ufunguzi maalum wa zoezi la upandaji wa miti ya mpira katika eneo la shamba la mpira la Kalunga. Tukio hilo limefanyika ikiwa ni sehemu ya mpango wa kugawa bure miche ya miti ya mpira 193,000 kwa

Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) Kugawa Miche 193,000 ya Mpira Bure Read More »

Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kupitia Tanzania Biotech Product Limited (TBPL) Yachukua Hatua za Haraka Kudhibiti Mlipuko wa Funza Weupe, Mbozi

Wakulima wa Kijiji cha Kiloleni, Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe wamepata matumaini mapya kufuatia hatua za haraka zilizochukuliwa na kiwanda cha viuadudu cha Tanzania Biotech Products Limited (TBPL), kinachomilikiwa na Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC), kudhibiti mlipuko wa minyoo weupe uliokuwa ukitishia usalama wa chakula katika eneo hilo. Taarifa za awali za mlipuko huo

Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kupitia Tanzania Biotech Product Limited (TBPL) Yachukua Hatua za Haraka Kudhibiti Mlipuko wa Funza Weupe, Mbozi Read More »

Ufufuaji wa KMTC wachochea kasi ya uchumi wa viwanda

Hatua ya Serikali kufufua na kuwekeza upya katika Kiwanda cha KMTC Manufacturing Limited kilichopo Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro, imeanza kuzaa matunda baada ya kuimarisha uzalishaji wa mashine na vipuri vya viwandani, kupanua ajira na kupunguza utegemezi wa bidhaa kutoka nje ikiwa ni nguzo muhimu ya kujenga uchumi wa viwanda nchini. Kiwanda hicho cha

Ufufuaji wa KMTC wachochea kasi ya uchumi wa viwanda Read More »

Mkurugenzi Mtendaji wa NDC awasilisha Miradi Mikubwa ya Maendeleo kwa Kamati ya Bunge

Mkurugenzi Mwendeshaji wa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC), Dkt. Nicolaus Shombe, amewasilisha taarifa ya kina ya majukumu, muundo wa shirika pamoja na utekelezaji wa miradi mikubwa ya kimkakati ya kitaifa mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Mifugo na Kilimo, katika kikao kilichofanyika jijini Dodoma. Akiwasilisha taarifa hiyo, Dkt. Shombe alieleza

Mkurugenzi Mtendaji wa NDC awasilisha Miradi Mikubwa ya Maendeleo kwa Kamati ya Bunge Read More »

Serikali Yaahidi Kuimarisha Ushirikiano na NDC Kukuza Viwanda, Ajira na Uchumi wa Taifa.

Naibu Waziri wa Viwanda na biashara Patrobas Katambi, amesema Serikali itaendelea kushirikiana na Shirika la Taifa la Maendeleo Tanzania (NDC) katika kuendelea kukuza biashara na uchumi.   Katambi ameyasema hayo leo Disemba 18,2025 wakati akiongea na Waandishi wa Habari katika ofisi za NDC zilizopo Posta Dar es Salaam.   Aidha amesema anaipongeza NDC, kwa kuendelea

Serikali Yaahidi Kuimarisha Ushirikiano na NDC Kukuza Viwanda, Ajira na Uchumi wa Taifa. Read More »

NDC na UNDP wajadiliana fursa za kuunga mkono wakulima na kukuza viwanda kupitia miradi ya pamoja.

Mkurugenzi Mwendeshaji wa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC), Dkt. Nicolaus Shombe ameongoza kikao kazi na UNDP Tanzania. Kikao hiko kimelenga kujadili fursa za ushirikiano kati ya UNDP na NDC katika maeneo mbalimbali ya maendeleo,hasa katika sekta za kilimo, madini na uwekezaji hususan katika maeneo yanayomilikiwa na NDC. Kwa upande wake Dkt. Shombe alieleza fursa

NDC na UNDP wajadiliana fursa za kuunga mkono wakulima na kukuza viwanda kupitia miradi ya pamoja. Read More »

Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma Atembelea NDC

Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) limepokea ugeni kutoka Tume ya Utumishi wa Umma (PSC) lililoongozwa na Kamishna wa Tume, Bi. Suzan Mlawi, katika ziara maalum ya kikazi. Ziara hiyo iliangazia mazungumzo na menejimenti pamoja na wafanyakazi wa NDC juu ya umuhimu wa wafanyakazi kufuata maadili ya Utumishi wa umma pamoja na utendaji, na uwajibikaji

Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma Atembelea NDC Read More »