“Kuzuia rushwa ni jukumu lako na langu, tutimize wajibu wetu.” Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), wametoa mafunzo ya namna ya kupambana na rushwa mahala pa kazi na nje ya mahala pa kazi kwa wafanyakazi wa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC). Wafanyakazi wa NDC wamepitishwa kufahamu aina za rushwa, namna ya kutambua […]
RAIS BUNGE LA CUBA AVUTIWA NA TBPL
Rais wa Bunge la Cuba, Mhe. Esterban Lazo Fernandiz amefurahishwa na kupongeza uwekezaji uliofanywa na Serikali ya Tanzania kwenye mapambano dhidi ya ugonjwa wa Malaria pamoja na kuongeza upatikanaji wa chakula kupitia uzalishaji wa viuatilifu hai visivyo na sumu. Ameyasema hayo alipofanya ziara ya kikazi ya siku moja kwenye kiwanda cha kuzalisha bidhaa za kibaiolojia,
RAIS BUNGE LA CUBA AVUTIWA NA TBPL Read More »
SERIKALI YAENDELEA NA MAJADILIANO UTEKELEZAJI MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA
Serikali imebainisha kuwa ipo katika hatua za mazungumzo na mwekezaji wa mradi wa uchimbaji chuma na makaa ya mawe wa Liganga na Mchuchuma ili kuanza mara moja kwa utekelezaji wa mradi huu hapa nchini. Haya yamebainishwa na Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo mapema leo ambapo amefanya ziara ya ukaguzi wa mradi
SERIKALI YAENDELEA NA MAJADILIANO UTEKELEZAJI MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA Read More »
SERIKALI KUSHIRIKIANA NA WANANCHI KUTEKELEZA MRADI WA MAKAA YA MAWE MCHUCHUMA NA KATEWAKA
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe Dkt. Selemani Jafo (Mb.) ameliagiza Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kukamilisha majadiliano na Mwekezaji wa Mradi wa Makaa ya Mawe Ketawaka Kampuni ya MM Steel Resource Public Ltd( MMSR) kufikia makubaliano ndani ya wiki tatu ili utekelezaji wa Mradi huo uanze. Vilevile, Waziri Jafo ameliagiza Shirika hilo kushirikiana
WAZIRI SELEMANI JAFO ATEMBELEA ETC CARGO
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo mapema hii leo amefanya ziara ya kikazi katika bandari kavu ya ETC Cargo ambayo ni Kampuni Tanzu ya Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) ambayo inapatikana Mbagala jijini Dar es Salaam. Katika Ziara hiyo Mh. Jafo alipata wasaa wa kukagua shughuli mbalimbali za utendaji zinazofanywa na
WAZIRI SELEMANI JAFO ATEMBELEA ETC CARGO Read More »
WAZIRI JAFO AUTAKA UMMA KUPUUZA TAARIFA ZA UPOTOSHAJI ZINAZOENEZWA KUHUSIANA NA UTEKELEZAJI WA MRADI WA KIMKAKATI WA MAGADI SODA, ENGARUKA
Waziri wa viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo ameutaka umma wa Watanzania kupuuzia taarifa zenye lengo la kupotosha ambazo zinaenezwa na watu wenye nia ovu juu ya utekelezaji wa mradi wa kimkakati wa magadi soda ulioko Engaruka Mkoani Arusha. Waziri Jafo ameyasema haya wakati akizindua rasmi zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi 592 ambao wanatarajia
WANANCHI 595 KULIPWA FIDIA MRADI WA MAGADI SODA ENGARUKA
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo, amekutana na wananchi wa Engaruka katika zoezi la uhamasishaji kuelekea ulipaji wa fidia kwa wakazi wa maeneo ambapo Serikali inatarajia kulipa kiasi cha shilingi bilioni 14.4 kwa wananchi wanaotarajia kupisha utekelezaji wa mradi wa maendeleo wa Engaruka, Monduli-Arusha. Dkt. Jafo amesisitiza dhamira ya Serikali ya Awamu ya
WANANCHI 595 KULIPWA FIDIA MRADI WA MAGADI SODA ENGARUKA Read More »
NAIBU KATIBU MKUU VIWANDA AFANYA ZIARA KIWANDA CHA TBPL
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Suleiman Serera amefanya ziara ya kikazi kwenye kiwanda cha kuzalisha bidhaa za kibaiolojia – Tanzania Biotech Products Limited (TBPL), kilichopo Kibaha mkoani Pwani. Wakati wa ziara yake hiyo, Dkt. Serera amepokelewa na mwenyeji wake Dkt. Nicolaus Shombe, Mkurugenzi Mwendeshaji wa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC),
NAIBU KATIBU MKUU VIWANDA AFANYA ZIARA KIWANDA CHA TBPL Read More »
TENDER FOR ENGARUKA SODA ASH PROJECT
Are you a well established entity looking to expand your investment in Tanzania? NDC is looking for you. We are looking for investors for our Soda Ash project located at the Engaruka Basin in the Monduli District, Arusha region. Please find more details on the attached advertisement. #ndc #engaruka #sodaash #investment #industries
TENDER FOR ENGARUKA SODA ASH PROJECT Read More »
ZAO LA MPIRA DILI MKOA WA TANGA
Shamba la mpira la Kihuhwi lililopo Muheza mkoani Tanga ni kiungo muhimu katika uzalishaji wa bidhaa mbalimbali zikiwemo magurudumu, gloves, viatu na vifaa vingine. kwa kuona umuhimu huo, Afisa Biashara Mkoa wa Tanga, Afisa Biashara Wilaya ya Muheza na Afisa kilimo Wilaya ya Muheza wametembela shamba hilo linalo simamiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo
ZAO LA MPIRA DILI MKOA WA TANGA Read More »