Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma Atembelea NDC
Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) limepokea ugeni kutoka Tume ya Utumishi wa Umma (PSC) lililoongozwa na Kamishna wa Tume, Bi. Suzan Mlawi, katika ziara maalum ya kikazi. Ziara hiyo iliangazia mazungumzo na menejimenti pamoja na wafanyakazi wa NDC juu ya umuhimu wa wafanyakazi kufuata maadili ya Utumishi wa umma pamoja na utendaji, na uwajibikaji […]
Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma Atembelea NDC Read More »










