Jacob Maganga

SERIKALI YAENDELEA NA MAJADILIANO UTEKELEZAJI MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA

Serikali imebainisha kuwa ipo katika hatua za mazungumzo na mwekezaji wa mradi wa uchimbaji chuma na makaa ya mawe wa Liganga na Mchuchuma ili kuanza mara moja kwa utekelezaji wa mradi huu hapa nchini. Haya yamebainishwa na Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo mapema leo ambapo amefanya ziara ya ukaguzi wa mradi […]

SERIKALI YAENDELEA NA MAJADILIANO UTEKELEZAJI MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA Read More »

SERIKALI KUSHIRIKIANA NA WANANCHI KUTEKELEZA MRADI WA MAKAA YA MAWE MCHUCHUMA NA KATEWAKA

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe Dkt. Selemani Jafo (Mb.) ameliagiza Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kukamilisha majadiliano na Mwekezaji wa Mradi wa Makaa ya Mawe Ketawaka Kampuni ya MM Steel Resource Public Ltd( MMSR) kufikia makubaliano ndani ya wiki tatu ili utekelezaji wa Mradi huo uanze. Vilevile, Waziri Jafo ameliagiza Shirika hilo kushirikiana

SERIKALI KUSHIRIKIANA NA WANANCHI KUTEKELEZA MRADI WA MAKAA YA MAWE MCHUCHUMA NA KATEWAKA Read More »

WAZIRI JAFO AUTAKA UMMA KUPUUZA TAARIFA ZA UPOTOSHAJI ZINAZOENEZWA KUHUSIANA NA UTEKELEZAJI WA MRADI WA KIMKAKATI WA MAGADI SODA, ENGARUKA

Waziri wa viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo ameutaka umma wa Watanzania kupuuzia taarifa zenye lengo la kupotosha ambazo zinaenezwa na watu wenye nia ovu juu ya utekelezaji wa mradi wa kimkakati wa magadi soda ulioko Engaruka Mkoani Arusha. Waziri Jafo ameyasema haya wakati akizindua rasmi zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi 592 ambao wanatarajia

WAZIRI JAFO AUTAKA UMMA KUPUUZA TAARIFA ZA UPOTOSHAJI ZINAZOENEZWA KUHUSIANA NA UTEKELEZAJI WA MRADI WA KIMKAKATI WA MAGADI SODA, ENGARUKA Read More »

WANANCHI 595 KULIPWA FIDIA MRADI WA MAGADI SODA ENGARUKA

Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo, amekutana na wananchi wa Engaruka katika zoezi la uhamasishaji kuelekea ulipaji wa fidia kwa wakazi wa maeneo ambapo Serikali inatarajia kulipa kiasi cha shilingi bilioni 14.4 kwa wananchi wanaotarajia kupisha utekelezaji wa mradi wa maendeleo wa Engaruka, Monduli-Arusha. Dkt. Jafo amesisitiza dhamira ya Serikali ya Awamu ya

WANANCHI 595 KULIPWA FIDIA MRADI WA MAGADI SODA ENGARUKA Read More »

NAIBU KATIBU MKUU VIWANDA AFANYA ZIARA KIWANDA CHA TBPL

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Suleiman Serera amefanya ziara ya kikazi kwenye kiwanda cha kuzalisha bidhaa za kibaiolojia – Tanzania Biotech Products Limited (TBPL), kilichopo Kibaha mkoani Pwani. Wakati wa ziara yake hiyo, Dkt. Serera amepokelewa na mwenyeji wake Dkt. Nicolaus Shombe, Mkurugenzi Mwendeshaji wa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC),

NAIBU KATIBU MKUU VIWANDA AFANYA ZIARA KIWANDA CHA TBPL Read More »

NDC YASHIRIKI UZINDUZI WA DAWA YA KUTOKOMEZA KISUKARI

Mkurugenzi Mwendeshaji wa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC), Dkt. Nicolaus Shombe amezindua dawa ya kupambana na ugonjwa wa kisukari, inayozalishwa na kiwanda cha Labiofam cha nchini Cuba. Hafla hiyo imefanyika wakati wa Maonesho ya 40 ya Biashara ya Kimataifa ya Havana – Cuba yanayofanyika kwa siku 4, kuanzia tarehe 4 mpaka 9 Novemba, 2024.

NDC YASHIRIKI UZINDUZI WA DAWA YA KUTOKOMEZA KISUKARI Read More »

NDC YAWAKARIBISHA WAWEKEZAJI KUTOKA KOREA KUWEKEZA KATIKA MIRADI YAKE

Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) limewaalika wawekezaji kutoka Korea kuwekeza katika miradi ya kimkakati inayosimamiwa na shirika hilo, hatua inayolenga kuunga mkono jitihada za Serikali ya Awamu ya Sita katika kukuza uchumi kupitia sekta ya viwanda nchini. Hayo yameelezwa leo katika semina ilichofanyika katika hoteli ya Johari Rotana, jijini Dar es Salaam, iliyojumuisha NDC,

NDC YAWAKARIBISHA WAWEKEZAJI KUTOKA KOREA KUWEKEZA KATIKA MIRADI YAKE Read More »