Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kupitia Tanzania Biotech Product Limited (TBPL) Yachukua Hatua za Haraka Kudhibiti Mlipuko wa Funza Weupe, Mbozi
Wakulima wa Kijiji cha Kiloleni, Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe wamepata matumaini mapya kufuatia hatua za haraka zilizochukuliwa na kiwanda cha viuadudu cha Tanzania Biotech Products Limited (TBPL), kinachomilikiwa na Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC), kudhibiti mlipuko wa minyoo weupe uliokuwa ukitishia usalama wa chakula katika eneo hilo. Taarifa za awali za mlipuko huo […]










