Serikali Yaahidi Kuimarisha Ushirikiano na NDC Kukuza Viwanda, Ajira na Uchumi wa Taifa.
Naibu Waziri wa Viwanda na biashara Patrobas Katambi, amesema Serikali itaendelea kushirikiana na Shirika la Taifa la Maendeleo Tanzania (NDC) katika kuendelea kukuza biashara na uchumi. Katambi ameyasema hayo leo Disemba 18,2025 wakati akiongea na Waandishi wa Habari katika ofisi za NDC zilizopo Posta Dar es Salaam. Aidha amesema anaipongeza NDC, kwa kuendelea […]
Serikali Yaahidi Kuimarisha Ushirikiano na NDC Kukuza Viwanda, Ajira na Uchumi wa Taifa. Read More »










