Jacob Maganga

ZAIDI YA BILIONI 11.5 ZANAWIRISHA KIWANDA CHA TBPL NDANI YA UONGOZI WA DKT SAMIA SULUHU HASSAN.

Imeelezwa kwamba katika miaka minne ya Dkt Samia Suluhu Hassan Zaidi ya Bilioni 11.5 zimewekezwa katika kiwanda cha Tanzania Biotech Products ambacho kinatajwa kuwa na bidhaa bora zinazotumika ndani ya Tanzania na nje ya Tanzania Hayo yameelezwa leo na Katibu wa Wizara ya Vwanda na Biashara, Dkt Hashil Abdallah katika hotuba yake aliyoitoa wakati wa […]

ZAIDI YA BILIONI 11.5 ZANAWIRISHA KIWANDA CHA TBPL NDANI YA UONGOZI WA DKT SAMIA SULUHU HASSAN. Read More »

TaFF yaitembelea NDC kufanya tathmini ya Mradi wa upandaji miti ya mpira

Mapema leo hii 15/10/2025 NDC yapokea ugeni kutoka mfuko wa misitu Tanzania (TaFF ) ikiwa ni muendelezo wa ushirikiano wa taasisi hizo mbili, ugeni huo ulikuwa na lengo la kufanya tathmini ili kujua changamoto maoni na mapendekezo katika kutekeleza mradi wa kuendeleza shamba la miti ya mpira liliyopo Kalunga mkoani Morogoro Ushirikiano huo ulikuja baada

TaFF yaitembelea NDC kufanya tathmini ya Mradi wa upandaji miti ya mpira Read More »

KIKAO CHA KWANZA CHA BODI YA KMTC CHAZINDULIWA

Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Hashil Abdallah ameshiriki na kuzindua rasmi kikao cha kwanza cha Bodi ya kiwanda cha kuzalisha bidhaa za chuma, KMTC Manufacturing Limited. Dkt. Hashil amekihakikishia kiwanda hicho kuwa Wizara ya Viwanda ipo tayari na inaendelea kuiunga mkono KMTC ambayo ni kampuni tanzu ya Shirika la Taifa la Maendeleo

KIKAO CHA KWANZA CHA BODI YA KMTC CHAZINDULIWA Read More »

NDC NA TaFF WAASISI USHIRIKIANO MPYA KWA MAENDELEO ENDELEVU YA ZAO LA MPIRA

Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa kushirikiana na Mfuko wa Misitu Tanzania (TaFF) wametia saini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano wa utekelezaji wa mradi wa ukuzaji wa zao la mpira kwa njia endelevu. Hafla hiyo muhimu imefanyika jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na viongozi wakuu kutoka pande zote mbili, ikiwemo Kaimu Mkurugenzi Mtendaji

NDC NA TaFF WAASISI USHIRIKIANO MPYA KWA MAENDELEO ENDELEVU YA ZAO LA MPIRA Read More »

MRADI WA CHUMA WA MAGANGA MATITU KUTEKELEZWA HIVI KARIBUNI KWA USHIRIKIANO WA SERIKALI NA MWEKEZAJI

Serikali imeeleza dhamira yake ya kuanza utekelezaji wa Mradi wa Chuma wa Maganga Matitu kwa haraka, kwa kushirikiana na mwekezaji wa kimataifa, ili kuhakikisha rasilimali hiyo muhimu inatumika kwa manufaa ya taifa. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo, alipokuwa akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo

MRADI WA CHUMA WA MAGANGA MATITU KUTEKELEZWA HIVI KARIBUNI KWA USHIRIKIANO WA SERIKALI NA MWEKEZAJI Read More »

VIONGOZI LABIOFARM CUBA WATEMBELEA KIWANDA CHA TBPL

Shirika la Taifa la Maendeleo  (NDC) kupitia Kampuni tanzu  inayozalisha viuatilifu hai TBPL iliyopo Kibaha  mkoani Pwani  imepokea ugeni kutoka Labiofam nchini Cuba, waliofanya Ziara kikazi ya siku tatu ikiwa ni pamoja na kutembelea kiwanda cha uzalishaji wa bidhaa za kibiolojia cha TBPL kilichoko Kibaha mkoani Pwani ikiwa ni matunda ya Ziara iliyofanyika Mapema mwezi

VIONGOZI LABIOFARM CUBA WATEMBELEA KIWANDA CHA TBPL Read More »

“Kuzuia rushwa ni jukumu lako na langu, tutimize wajibu wetu.” Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), wametoa mafunzo ya namna ya kupambana na rushwa mahala pa kazi na nje ya mahala pa kazi kwa wafanyakazi wa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC). Wafanyakazi wa NDC wamepitishwa kufahamu aina za rushwa, namna ya kutambua

Read More »

SERIKALI YAENDELEA NA MAJADILIANO UTEKELEZAJI MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA

Serikali imebainisha kuwa ipo katika hatua za mazungumzo na mwekezaji wa mradi wa uchimbaji chuma na makaa ya mawe wa Liganga na Mchuchuma ili kuanza mara moja kwa utekelezaji wa mradi huu hapa nchini. Haya yamebainishwa na Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo mapema leo ambapo amefanya ziara ya ukaguzi wa mradi

SERIKALI YAENDELEA NA MAJADILIANO UTEKELEZAJI MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA Read More »