Innocent

Ufufuaji wa KMTC wachochea kasi ya uchumi wa viwanda

Hatua ya Serikali kufufua na kuwekeza upya katika Kiwanda cha KMTC Manufacturing Limited kilichopo Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro, imeanza kuzaa matunda baada ya kuimarisha uzalishaji wa mashine na vipuri vya viwandani, kupanua ajira na kupunguza utegemezi wa bidhaa kutoka nje ikiwa ni nguzo muhimu ya kujenga uchumi wa viwanda nchini. Kiwanda hicho cha […]

Ufufuaji wa KMTC wachochea kasi ya uchumi wa viwanda Read More »

Mkurugenzi Mtendaji wa NDC awasilisha Miradi Mikubwa ya Maendeleo kwa Kamati ya Bunge

Mkurugenzi Mwendeshaji wa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC), Dkt. Nicolaus Shombe, amewasilisha taarifa ya kina ya majukumu, muundo wa shirika pamoja na utekelezaji wa miradi mikubwa ya kimkakati ya kitaifa mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Mifugo na Kilimo, katika kikao kilichofanyika jijini Dodoma. Akiwasilisha taarifa hiyo, Dkt. Shombe alieleza

Mkurugenzi Mtendaji wa NDC awasilisha Miradi Mikubwa ya Maendeleo kwa Kamati ya Bunge Read More »

Serikali Yaahidi Kuimarisha Ushirikiano na NDC Kukuza Viwanda, Ajira na Uchumi wa Taifa.

Naibu Waziri wa Viwanda na biashara Patrobas Katambi, amesema Serikali itaendelea kushirikiana na Shirika la Taifa la Maendeleo Tanzania (NDC) katika kuendelea kukuza biashara na uchumi.   Katambi ameyasema hayo leo Disemba 18,2025 wakati akiongea na Waandishi wa Habari katika ofisi za NDC zilizopo Posta Dar es Salaam.   Aidha amesema anaipongeza NDC, kwa kuendelea

Serikali Yaahidi Kuimarisha Ushirikiano na NDC Kukuza Viwanda, Ajira na Uchumi wa Taifa. Read More »

NDC na UNDP wajadiliana fursa za kuunga mkono wakulima na kukuza viwanda kupitia miradi ya pamoja.

Mkurugenzi Mwendeshaji wa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC), Dkt. Nicolaus Shombe ameongoza kikao kazi na UNDP Tanzania. Kikao hiko kimelenga kujadili fursa za ushirikiano kati ya UNDP na NDC katika maeneo mbalimbali ya maendeleo,hasa katika sekta za kilimo, madini na uwekezaji hususan katika maeneo yanayomilikiwa na NDC. Kwa upande wake Dkt. Shombe alieleza fursa

NDC na UNDP wajadiliana fursa za kuunga mkono wakulima na kukuza viwanda kupitia miradi ya pamoja. Read More »

Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma Atembelea NDC

Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) limepokea ugeni kutoka Tume ya Utumishi wa Umma (PSC) lililoongozwa na Kamishna wa Tume, Bi. Suzan Mlawi, katika ziara maalum ya kikazi. Ziara hiyo iliangazia mazungumzo na menejimenti pamoja na wafanyakazi wa NDC juu ya umuhimu wa wafanyakazi kufuata maadili ya Utumishi wa umma pamoja na utendaji, na uwajibikaji

Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma Atembelea NDC Read More »

UNDP yatembelea Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC)

Wawakilishi kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa maendeleo UNDP Tanzania, wakiongozwa na Mratibu wa Mipango, Bw. Amon Manyama, wamefanya ziara rasmi katika makao makuu ya Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) jijini Dar es Salaam. Katika ziara hiyo, Bw. Manyama alipokelewa na Mkurugenzi Mwendeshaji wa NDC, Dkt. Nicolaus Shombe. Lengo kuu la

UNDP yatembelea Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) Read More »

ZAIDI YA BILIONI 11.5 ZANAWIRISHA KIWANDA CHA TBPL NDANI YA UONGOZI WA DKT SAMIA SULUHU HASSAN.

Imeelezwa kwamba katika miaka minne ya Dkt Samia Suluhu Hassan Zaidi ya Bilioni 11.5 zimewekezwa katika kiwanda cha Tanzania Biotech Products ambacho kinatajwa kuwa na bidhaa bora zinazotumika ndani ya Tanzania na nje ya Tanzania Hayo yameelezwa leo na Katibu wa Wizara ya Vwanda na Biashara, Dkt Hashil Abdallah katika hotuba yake aliyoitoa wakati wa

ZAIDI YA BILIONI 11.5 ZANAWIRISHA KIWANDA CHA TBPL NDANI YA UONGOZI WA DKT SAMIA SULUHU HASSAN. Read More »

TaFF yaitembelea NDC kufanya tathmini ya Mradi wa upandaji miti ya mpira

Mapema leo hii 15/10/2025 NDC yapokea ugeni kutoka mfuko wa misitu Tanzania (TaFF ) ikiwa ni muendelezo wa ushirikiano wa taasisi hizo mbili, ugeni huo ulikuwa na lengo la kufanya tathmini ili kujua changamoto maoni na mapendekezo katika kutekeleza mradi wa kuendeleza shamba la miti ya mpira liliyopo Kalunga mkoani Morogoro Ushirikiano huo ulikuja baada

TaFF yaitembelea NDC kufanya tathmini ya Mradi wa upandaji miti ya mpira Read More »

NDC NA TaFF WAASISI USHIRIKIANO MPYA KWA MAENDELEO ENDELEVU YA ZAO LA MPIRA

Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa kushirikiana na Mfuko wa Misitu Tanzania (TaFF) wametia saini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano wa utekelezaji wa mradi wa ukuzaji wa zao la mpira kwa njia endelevu. Hafla hiyo muhimu imefanyika jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na viongozi wakuu kutoka pande zote mbili, ikiwemo Kaimu Mkurugenzi Mtendaji

NDC NA TaFF WAASISI USHIRIKIANO MPYA KWA MAENDELEO ENDELEVU YA ZAO LA MPIRA Read More »