Jacob Maganga

“Kuzuia rushwa ni jukumu lako na langu, tutimize wajibu wetu.” Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), wametoa mafunzo ya namna ya kupambana na rushwa mahala pa kazi na nje ya mahala pa kazi kwa wafanyakazi wa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC). Wafanyakazi wa NDC wamepitishwa kufahamu aina za rushwa, namna ya kutambua […]

Read More »

SERIKALI YAENDELEA NA MAJADILIANO UTEKELEZAJI MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA

Serikali imebainisha kuwa ipo katika hatua za mazungumzo na mwekezaji wa mradi wa uchimbaji chuma na makaa ya mawe wa Liganga na Mchuchuma ili kuanza mara moja kwa utekelezaji wa mradi huu hapa nchini. Haya yamebainishwa na Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo mapema leo ambapo amefanya ziara ya ukaguzi wa mradi

SERIKALI YAENDELEA NA MAJADILIANO UTEKELEZAJI MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA Read More »

SERIKALI KUSHIRIKIANA NA WANANCHI KUTEKELEZA MRADI WA MAKAA YA MAWE MCHUCHUMA NA KATEWAKA

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe Dkt. Selemani Jafo (Mb.) ameliagiza Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kukamilisha majadiliano na Mwekezaji wa Mradi wa Makaa ya Mawe Ketawaka Kampuni ya MM Steel Resource Public Ltd( MMSR) kufikia makubaliano ndani ya wiki tatu ili utekelezaji wa Mradi huo uanze. Vilevile, Waziri Jafo ameliagiza Shirika hilo kushirikiana

SERIKALI KUSHIRIKIANA NA WANANCHI KUTEKELEZA MRADI WA MAKAA YA MAWE MCHUCHUMA NA KATEWAKA Read More »

WAZIRI JAFO AUTAKA UMMA KUPUUZA TAARIFA ZA UPOTOSHAJI ZINAZOENEZWA KUHUSIANA NA UTEKELEZAJI WA MRADI WA KIMKAKATI WA MAGADI SODA, ENGARUKA

Waziri wa viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo ameutaka umma wa Watanzania kupuuzia taarifa zenye lengo la kupotosha ambazo zinaenezwa na watu wenye nia ovu juu ya utekelezaji wa mradi wa kimkakati wa magadi soda ulioko Engaruka Mkoani Arusha. Waziri Jafo ameyasema haya wakati akizindua rasmi zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi 592 ambao wanatarajia

WAZIRI JAFO AUTAKA UMMA KUPUUZA TAARIFA ZA UPOTOSHAJI ZINAZOENEZWA KUHUSIANA NA UTEKELEZAJI WA MRADI WA KIMKAKATI WA MAGADI SODA, ENGARUKA Read More »

WANANCHI 595 KULIPWA FIDIA MRADI WA MAGADI SODA ENGARUKA

Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo, amekutana na wananchi wa Engaruka katika zoezi la uhamasishaji kuelekea ulipaji wa fidia kwa wakazi wa maeneo ambapo Serikali inatarajia kulipa kiasi cha shilingi bilioni 14.4 kwa wananchi wanaotarajia kupisha utekelezaji wa mradi wa maendeleo wa Engaruka, Monduli-Arusha. Dkt. Jafo amesisitiza dhamira ya Serikali ya Awamu ya

WANANCHI 595 KULIPWA FIDIA MRADI WA MAGADI SODA ENGARUKA Read More »

NAIBU KATIBU MKUU VIWANDA AFANYA ZIARA KIWANDA CHA TBPL

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Suleiman Serera amefanya ziara ya kikazi kwenye kiwanda cha kuzalisha bidhaa za kibaiolojia – Tanzania Biotech Products Limited (TBPL), kilichopo Kibaha mkoani Pwani. Wakati wa ziara yake hiyo, Dkt. Serera amepokelewa na mwenyeji wake Dkt. Nicolaus Shombe, Mkurugenzi Mwendeshaji wa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC),

NAIBU KATIBU MKUU VIWANDA AFANYA ZIARA KIWANDA CHA TBPL Read More »