NDC na UNDP wajadiliana fursa za kuunga mkono wakulima na kukuza viwanda kupitia miradi ya pamoja.
Mkurugenzi Mwendeshaji wa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC), Dkt. Nicolaus Shombe ameongoza kikao kazi na UNDP Tanzania. Kikao hiko kimelenga kujadili fursa za ushirikiano kati ya UNDP na NDC katika maeneo mbalimbali ya maendeleo,hasa katika sekta za kilimo, madini na uwekezaji hususan katika maeneo yanayomilikiwa na NDC. Kwa upande wake Dkt. Shombe alieleza fursa […]










