ZAIDI YA BILIONI 11.5 ZANAWIRISHA KIWANDA CHA TBPL NDANI YA UONGOZI WA DKT SAMIA SULUHU HASSAN.
Imeelezwa kwamba katika miaka minne ya Dkt Samia Suluhu Hassan Zaidi ya Bilioni 11.5 zimewekezwa katika kiwanda cha Tanzania Biotech Products ambacho kinatajwa kuwa na bidhaa bora zinazotumika ndani ya Tanzania na nje ya Tanzania Hayo yameelezwa leo na Katibu wa Wizara ya Vwanda na Biashara, Dkt Hashil Abdallah katika hotuba yake aliyoitoa wakati wa […]