Innocent

Wizara ya Viwanda na Biashara Kuitengea KMTC Manufacturing Limited Pesa Zaidi

Wizara ya Viwanda na Biashara kukitengea kiwanda cha KMTC Manufacturing Limited Bilioni 5 ili kuongeza uwekezaji katika mashine za teknolojia ya kisasa. Akizungumza kuhusu mpango huo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Mhe. Balozi Waziri Salum, amesema serikali imeona umuhimu wa kuboresha miundombinu ya uzalishaji kwa kuongeza mashine za kisasa ili kuongeza ufanisi […]

Wizara ya Viwanda na Biashara Kuitengea KMTC Manufacturing Limited Pesa Zaidi Read More »

Kamati Kushauri Uwekezaji Wenye Tija Kiwanda cha General Tyre

Serikali kupitia Wizara ya Viwanda na Biashara imeunda kamati maalum ya wataalamu kwa lengo la kufanya uchambuzi wa kina kuhusu hatma ya kiwanda cha matairi cha General Tyre East Africa kilichopo jijini Arusha. Hatua hiyo inalenga kupata majibu sahihi kuhusu iwapo kiwanda hicho kinaweza kufufuliwa na kuendelea na uzalishaji wa matairi au kubadilishwa matumizi. Akizungumza

Kamati Kushauri Uwekezaji Wenye Tija Kiwanda cha General Tyre Read More »

NDC yaimarisha azma za viwanda kupitia mazungumzo ya kimkakati kuhusu uwekezaji katika miradi yake ya chuma.

Mkurugenzi wa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC), Dkt. Nicolaus Shombe, amekutana na ujumbe kutoka kampuni ya Hong De Sheng ya nchini China kwa lengo la kujadili na kupata uelewa wa kina kuhusu miradi inayosimamiwa na shirika hilo hapa nchini. Mazungumzo hayo yamelenga zaidi sekta ya chuma ambayo ina nafasi kubwa katika kukuza uchumi wa

NDC yaimarisha azma za viwanda kupitia mazungumzo ya kimkakati kuhusu uwekezaji katika miradi yake ya chuma. Read More »

NDC na CRDB zaimarisha ushirikiano katika miradi ya kimkakati kuleta maendeleo nchini

Timu ya wataalam kutoka CRDB Bank Plc imetembelea Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa lengo la kuimarisha ushirikiano wa kimkakati katika kutekeleza miradi ya maendeleo nchini. Kwa upande wake kiongozi wa timu ya CRDB Bank Plc, Dominick Timothy, ambaye ni Meneja Mwandamizi wa huduma za kibenki kwa Taasisi (Institutional Banking), alibainisha kuwa CRDB inaendelea

NDC na CRDB zaimarisha ushirikiano katika miradi ya kimkakati kuleta maendeleo nchini Read More »

NDC yaeleza mafanikio na mwelekeo wa miradi ya kimkakati nchini.

  Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC) limeeleza hatua kubwa iliyofikiwa katika utekelezaji wa miradi ya kimkakati, likisisitiza mchango wake katika kukuza uchumi wa Tanzania na kuifanya nchi kufikia uchumi wa kati wa viwanda. Akizungumza katika mahojiano ya moja kwa moja na kituo cha televisheni cha Radit One, Mkurugenzi wa Viwanda wa NDC, Dkt. Mtoni,

NDC yaeleza mafanikio na mwelekeo wa miradi ya kimkakati nchini. Read More »

NDC YAREJESHA MATUMAINI KWA WANAKIJIJI WA IKOMELA, MBOZI, MKOANI SONGWE.

Wakulima wa Kijiji cha Ikomela kilichopo Wilaya ya Mbozi, Mkoa wa Songwe, kwa kushirikiana na timu ya wataalamu kutoka kiwanda cha Tanzania Biotech Products Limited (TBPL),kampuni tanzu ya Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) – pamoja na wataalamu kutoka TPHPA Mbeya, walifanya ziara maalum ya kutembelea na kufuatilia maendeleo ya shamba lililokuwa limeathiriwa na wadudu

NDC YAREJESHA MATUMAINI KWA WANAKIJIJI WA IKOMELA, MBOZI, MKOANI SONGWE. Read More »

WAFANYAKAZI WANAWAKE NDC WATOA MSAADA KWA WANAWAKE WALIOPO GEREZA LA SEGEREA

Wanawake wa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) leo wametembelea Gereza la Wanawake Segerea, Ilala jijini Dar es Salaam na kukabidhi msaada wa vifaa mbalimbali kwa mahabusu wanawake waliopo gerezani hapo. Msaada huo ulijumuisha sabuni, taulo za kike, sukari na mifagio ikiwa ni sehemu ya mchango wa NDC katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya Siku

WAFANYAKAZI WANAWAKE NDC WATOA MSAADA KWA WANAWAKE WALIOPO GEREZA LA SEGEREA Read More »

Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) Kugawa Miche 193,000 ya Mpira Bure

Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) limeandika historia mpya katika kata ya Mwaya, Kilombero, mkoani Morogoro kufuatia kufanyika kwa ufunguzi maalum wa zoezi la upandaji wa miti ya mpira katika eneo la shamba la mpira la Kalunga. Tukio hilo limefanyika ikiwa ni sehemu ya mpango wa kugawa bure miche ya miti ya mpira 193,000 kwa

Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) Kugawa Miche 193,000 ya Mpira Bure Read More »

Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kupitia Tanzania Biotech Product Limited (TBPL) Yachukua Hatua za Haraka Kudhibiti Mlipuko wa Funza Weupe, Mbozi

Wakulima wa Kijiji cha Kiloleni, Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe wamepata matumaini mapya kufuatia hatua za haraka zilizochukuliwa na kiwanda cha viuadudu cha Tanzania Biotech Products Limited (TBPL), kinachomilikiwa na Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC), kudhibiti mlipuko wa minyoo weupe uliokuwa ukitishia usalama wa chakula katika eneo hilo. Taarifa za awali za mlipuko huo

Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kupitia Tanzania Biotech Product Limited (TBPL) Yachukua Hatua za Haraka Kudhibiti Mlipuko wa Funza Weupe, Mbozi Read More »

Ufufuaji wa KMTC wachochea kasi ya uchumi wa viwanda

Hatua ya Serikali kufufua na kuwekeza upya katika Kiwanda cha KMTC Manufacturing Limited kilichopo Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro, imeanza kuzaa matunda baada ya kuimarisha uzalishaji wa mashine na vipuri vya viwandani, kupanua ajira na kupunguza utegemezi wa bidhaa kutoka nje ikiwa ni nguzo muhimu ya kujenga uchumi wa viwanda nchini. Kiwanda hicho cha

Ufufuaji wa KMTC wachochea kasi ya uchumi wa viwanda Read More »