MBOLEA HAI KUZALISHWA TANZANIA
Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) limetia saini mikataba miwili ya ushirikiano na kampuni ya LABIOFAM kutoka Cuba, yenye lengo la kuimarisha uzalishaji wa mbolea hai na kuhamisha teknolojia ya kisasa kwa wataalamu wa Tanzania. Mikataba hiyo inalenga kuongeza uzalishaji wa mbolea rafiki kwa mazingira inayotokana na teknolojia ya kibaolojia kutoka Cuba, na kuiwezesha Tanzania […]
MBOLEA HAI KUZALISHWA TANZANIA Read More »