Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) Kugawa Miche 193,000 ya Mpira Bure
Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) limeandika historia mpya katika kata ya Mwaya, Kilombero, mkoani Morogoro kufuatia kufanyika kwa ufunguzi maalum wa zoezi la upandaji wa miti ya mpira katika eneo la shamba la mpira la Kalunga. Tukio hilo limefanyika ikiwa ni sehemu ya mpango wa kugawa bure miche ya miti ya mpira 193,000 kwa […]
Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) Kugawa Miche 193,000 ya Mpira Bure Read More »










