NDC NA TaFF WAASISI USHIRIKIANO MPYA KWA MAENDELEO ENDELEVU YA ZAO LA MPIRA
Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa kushirikiana na Mfuko wa Misitu Tanzania (TaFF) wametia saini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano wa utekelezaji wa mradi wa ukuzaji wa zao la mpira kwa njia endelevu. Hafla hiyo muhimu imefanyika jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na viongozi wakuu kutoka pande zote mbili, ikiwemo Kaimu Mkurugenzi Mtendaji […]
NDC NA TaFF WAASISI USHIRIKIANO MPYA KWA MAENDELEO ENDELEVU YA ZAO LA MPIRA Read More »