SERIKALI YAENDELEA NA MAJADILIANO UTEKELEZAJI MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA
Serikali imebainisha kuwa ipo katika hatua za mazungumzo na mwekezaji wa mradi wa uchimbaji chuma na makaa ya mawe wa Liganga na Mchuchuma ili kuanza mara moja kwa utekelezaji wa mradi huu hapa nchini. Haya yamebainishwa na Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo mapema leo ambapo amefanya ziara ya ukaguzi wa mradi […]
SERIKALI YAENDELEA NA MAJADILIANO UTEKELEZAJI MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA Read More »