KIKAO CHA KWANZA CHA BODI YA KMTC CHAZINDULIWA
Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Hashil Abdallah ameshiriki na kuzindua rasmi kikao cha kwanza cha Bodi ya kiwanda cha kuzalisha bidhaa za chuma, KMTC Manufacturing Limited. Dkt. Hashil amekihakikishia kiwanda hicho kuwa Wizara ya Viwanda ipo tayari na inaendelea kuiunga mkono KMTC ambayo ni kampuni tanzu ya Shirika la Taifa la Maendeleo […]
KIKAO CHA KWANZA CHA BODI YA KMTC CHAZINDULIWA Read More »