UNDP yatembelea Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC)
Wawakilishi kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa maendeleo UNDP Tanzania, wakiongozwa na Mratibu wa Mipango, Bw. Amon Manyama, wamefanya ziara rasmi katika makao makuu ya Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) jijini Dar es Salaam. Katika ziara hiyo, Bw. Manyama alipokelewa na Mkurugenzi Mwendeshaji wa NDC, Dkt. Nicolaus Shombe. Lengo kuu la […]
UNDP yatembelea Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) Read More »










