NDC YAWAKARIBISHA WAWEKEZAJI KUTOKA KOREA KUWEKEZA KATIKA MIRADI YAKE
Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) limewaalika wawekezaji kutoka Korea kuwekeza katika miradi ya kimkakati inayosimamiwa na shirika hilo, hatua inayolenga kuunga mkono jitihada za Serikali ya Awamu ya Sita katika kukuza uchumi kupitia sekta ya viwanda nchini. Hayo yameelezwa leo katika semina ilichofanyika katika hoteli ya Johari Rotana, jijini Dar es Salaam, iliyojumuisha NDC, […]
NDC YAWAKARIBISHA WAWEKEZAJI KUTOKA KOREA KUWEKEZA KATIKA MIRADI YAKE Read More »