MENU

Habari

NDC PARTICIPATES IN THE HEALTH CHECK CAMPAIGN

The National Development Corporation (NDC) has participated in a special health check campaign held at Mnazi Mmoja grounds in Dar es Salaam. The campaign brought together citizens from various areas of the city with the aim of getting their health checked and receiving free treatment for diseases. Speaking at the campaign, the Director of Finance […]

NDC PARTICIPATES IN THE HEALTH CHECK CAMPAIGN Read More »

NDC, TEMDO KUENDELEZA USHIRIKIANO

Mkurugenzi Mwendeshaji wa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC), Dkt. Nicolaus Shombe amefanya mazungumzo  na  Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Zana za Kilimo na Teknlojia Vijijini, (CAMARTEC), Mha. Pythias Ntela, kikao kilicho dhamiria kuongeza uzalishaji wa vipuri vya mashine pamoja na vyombo vya moto kupitia kiwanda cha KMTC kiwanda kilichopo mkoani Kilimanjaro. Mkurugenzi Mwendeshaji

NDC, TEMDO KUENDELEZA USHIRIKIANO Read More »

LIGANGA, MCHUCHUMA MAMBO MSWANO

Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan amewahakikishia Watanzania  kuanza  kwa utekelezaji wa miradi mikubwa wa Liganga na Mchuchuma Wilayani Ludewa Mkoani Njombe baada ya kuanza ulipaji fidia kwa wananchi. Akizungumza kwa njia ya simu na wananchi wakati wa hafla ya uzinduzi wa zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi waliopisha maeneo yenye

LIGANGA, MCHUCHUMA MAMBO MSWANO Read More »

NDC Meets ABSA Discusses Investment Opportunities

In a significant move towards strengthening economic ties and exploring investment opportunities, ABSA’s Managing Director, Mr. Obeid Laizer, visited the headquarters of the National Development Corporation (NDC) today. The meeting was held with Dr. Nicolaus Shombe, the Managing Director of NDC, to discuss potential areas of collaboration and investment. The meeting was aimed at fostering

NDC Meets ABSA Discusses Investment Opportunities Read More »

MAFANIKO YA NDC CHINI YA SERIKALI YA AWAMU YA SITA.

Kwa miaka mingi, NDC imekuwa ikitekeleza majukumu mbalimbali muhimu katika maendeleo ya kiuchumi ya nchi. Chini ya uongozi wa Rais Mhe Dk Samia Suluhu Hassan, NDC imeendelea kutekeleza majukumu muhimu katika maendeleo ya kiuchumi ya Tanzania, ikilenga hasa kwenye ujenzi wa viwanda, utengenezaji wa ajira na kuvutia uwekezaji wa kigeni. NDC inatekeleza haya ikiwa ni

MAFANIKO YA NDC CHINI YA SERIKALI YA AWAMU YA SITA. Read More »

MKURUGENZI NDC ATOA NENO KWA CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA CBE

Mkurugenzi mwendeshaji wa shirika la Taifa Maendeleo NDC Dk Nicolaus Shombe amekishauri chuo cha elimu ya Biashara CBE kuhakikisha kinatengeneza mitaala ya kufundishia inayoendana na mazingira ya biashara yaliyopo duniani hivi sasa. Dk Shombe ameyasema haya jijini Dar es Salaam wakati alipoalikwa kuwa mgeni maalum katika shughuli ya CEOs Breakfast tukio ambalo liliwakutanisha wakuu wa

MKURUGENZI NDC ATOA NENO KWA CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA CBE Read More »

NDC HATUNA MSONGO WA MAWAZO

Mabalozi 7 wa nchi za Afrika zikiwemo Afrika kusini, Sudan ya Kusini, Nigeria, Saharawi, Comoro, Msumbiji na Zambia wakiwa wameambatana na Balozi wa Cuba nchini Tanzania, Mhe. Yordenis Despaigne wametembelea kiwanda cha kibaiolojia cha kuzalisha viuadudu vya kuangamiza mazalia ya mbu, Tanzania Biotech Products Limited (TBPL), cha Kibaha, Pwani na kuipongeza Serikali ya Tanzania kupitia Shirika la

NDC HATUNA MSONGO WA MAWAZO Read More »

MBOLEA ZA KIBAIOLOJIA MKOMBOZI WA KILIMO NCHINI

Mabalozi 7 wa nchi za Afrika zikiwemo Afrika kusini, Sudan ya Kusini, Nigeria, Saharawi, Comoro, Msumbiji na Zambia wakiwa wameambatana na Balozi wa Cuba nchini Tanzania, Mhe. Yordenis Despaigne wametembelea kiwanda cha kibaiolojia cha kuzalisha viuadudu vya kuangamiza mazalia ya mbu, Tanzania Biotech Products Limited (TBPL), cha Kibaha, Pwani na kuipongeza Serikali ya Tanzania kupitia Shirika la

MBOLEA ZA KIBAIOLOJIA MKOMBOZI WA KILIMO NCHINI Read More »

SISI NI MABINGWA NDANI YA NJE YA UWANJA

Mabalozi 7 wa nchi za Afrika zikiwemo Afrika kusini, Sudan ya Kusini, Nigeria, Saharawi, Comoro, Msumbiji na Zambia wakiwa wameambatana na Balozi wa Cuba nchini Tanzania, Mhe. Yordenis Despaigne wametembelea kiwanda cha kibaiolojia cha kuzalisha viuadudu vya kuangamiza mazalia ya mbu, Tanzania Biotech Products Limited (TBPL), cha Kibaha, Pwani na kuipongeza Serikali ya Tanzania kupitia Shirika la

SISI NI MABINGWA NDANI YA NJE YA UWANJA Read More »