Jacob Maganga

KITILA MKUMBO AZINDUA ZOEZI LA ZOEZI LA KUANGAMIZA MBU JIMBO LA UBUNGO

Waziri wa Uwekezaji Mhe. Prof. Kitila Mkumbo amezindua rasmi zoezi la unyunyiziaji wa dawa za viuadudu vinavyozalishwa na kiwanda cha TBPL kilichoko Kibaha mkoani Pwani kwa ajili ya unyunyiziaji katika jimbo la uchaguzi la Ubungo ikiwa ni hatua ya kuunga mkono juhudi za serikali katika kupambana na magonjwa yaenezwayo na mbu ikiwemo Malaria, Kikungunya pamoja […]

KITILA MKUMBO AZINDUA ZOEZI LA ZOEZI LA KUANGAMIZA MBU JIMBO LA UBUNGO Read More »

AFRICAN ASSAY LABORATORIES (T) LTD PAYS A COURTESY CALL TO NDC

Tanzania’s government investment wing, the National Development Corporation (NDC), held a meeting with African Assay Laboratories Ltd. in Dar es Salaam to discuss potential investment opportunities. The meeting was hosted by Dr. Nicolaus Shombe, NDC Managing Director, who unified a long-standing business partnership between NDC and African Assay Laboratories Ltd. The meeting focused on fostering

AFRICAN ASSAY LABORATORIES (T) LTD PAYS A COURTESY CALL TO NDC Read More »

DOCTORS WITHOUT BORDERS FRONTLINE IN FIGHT AGAINST MALARIA

The non-governmental organization Doctors Without Borders has purchased a total of 3,500 liters of anti-malarial drugs from the Tanzania Biotech Product Limited (TBPL) factory owned by the National Development Corporation (NDC), located in Kibaha, Pwani Region. Speaking during the handover, the Head of Marketing Unit at TBPL, Samuel Mziray, expressed satisfaction with the steps taken

DOCTORS WITHOUT BORDERS FRONTLINE IN FIGHT AGAINST MALARIA Read More »

UZALISHAJI WA BIDHAA ZA KIBAIOLOJIA KUONGEZEKA

Makamu wa Rais wa Cuba, Mhe. Salvador Valdes Mesa amesema Serikali ya Cuba itaendelea kutoa utaalam kwa kiwanda cha kuzalisha bidhaa za Kibaiolojia – Tanzania Biotech Products Limited (TBPL) cha Kibaha – Pwani, ili kizalishe bidhaa nyingi za kibaiolojia mbali na uzalishaji wa viuadudu vya kuangamiza mazalia ya mbu na viuatilifu vya kupambana na wadudu

UZALISHAJI WA BIDHAA ZA KIBAIOLOJIA KUONGEZEKA Read More »

RAIS WA LABIOFAM YA CUBA KIWANDANI TBPL

Kiwanda pekee barani Afrika cha kuzalisha viuadudu vya kuangamiza mazalia ya mbu, Tanzania Biotech Products Limited (TBPL), kimetembelewa na Rais wa Labiofam kutoka Cuba, Rodi Valdes Ortiz ikiwa ni ziara ya kujionea utendaji kazi wa kiwanda hicho kilichopo Kibaha, mkoani Pwani. Akiwa kiwandani hapo amefanya mazungumzo na Menejimenti ya TBPL pamoja na watendaji wa NDC

RAIS WA LABIOFAM YA CUBA KIWANDANI TBPL Read More »

MRADI WA MAGADI SODA KUWEKA HISTORIA MPYA

Serikali imewataka Viongozi wa Taasisi zinazohusika na Mradi wa Kimkakati wa Magadi Soda uliopo Engaruka Wilayani Monduli Mkoani Arusha kushirikiana kwa karibu katika kukamilisha taratibu zote zinazohitajika ili Mradi huo unaotarajiwa kuongeza ajira, malighafi za viwandani, kukuza biashara na uchumi wa Taifa uanze kutekelezwa kwa wakati. Hayo yamesemwa  Desemba, 21,2023 na Katibu Mkuu wa Wizara

MRADI WA MAGADI SODA KUWEKA HISTORIA MPYA Read More »

SERIKALI KUIKWAMUA MIRADI YA KIMKAKATI YA NDC

Serikali imebainisha kuwa inaendelea na jitihada mbalimbali za kuhakikisha kuwa miradi ya kimkakati iliyopo chini ya Shirika la Taifa la Maendeleo nchini (NDC) inakwamuliwa kwa manufaa ya nchi pamoja na Taifa kiujumla. Haya yamebainishwa na Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt.Hashil Abdallah katika kikao maalum baina yake na Katibu Mkuu Wizara ya Madini,pamoja

SERIKALI KUIKWAMUA MIRADI YA KIMKAKATI YA NDC Read More »

CHUSA MINING WAMOTO

Kampuni ya Chusa Mining inaendelea na zoezi la uchorongaji wa miamba ya makaa ya mawe, kwenye mgodi wa Mchuchuma – Ludewa, Njombe. Katika hatua hiyo wanafanya utafiti wa kutambua miamba mbalimbali (lithological loggging). Mjiolojia wa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC), Alfred Kawono (kushoto) akiwa na mtaalam wa kutoka kampuni ya Chusa Mining wakifanya lithological

CHUSA MINING WAMOTO Read More »