MATUMAINI MAKUBWA KWA BODI MPYA YA TBPL

Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na biashara Dkt. Hashil Abdallah amezindua rasmi bodi mpya ya wakurugenzi ya kiwanda cha kuzalisha dawa za kibaiolojia, Tanzania Biotech Products Limited (TBPL) kilichopo Kibaha mkoani Pwani huku akiitaka bodi hiyo kuhakikisha inachapa kazi katika kuunga mkono Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Mhe. Samia …

MATUMAINI MAKUBWA KWA BODI MPYA YA TBPL Read More »