#afya #ndc #malaria #nationaldevelopmentcorporation

MBOLEA HAI KUZALISHWA TANZANIA

Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) limetia saini mikataba miwili ya ushirikiano na kampuni ya LABIOFAM kutoka Cuba, yenye lengo la kuimarisha uzalishaji wa mbolea hai na kuhamisha teknolojia ya kisasa kwa wataalamu wa Tanzania. Mikataba hiyo inalenga kuongeza uzalishaji wa mbolea rafiki kwa mazingira inayotokana na teknolojia ya kibaolojia kutoka Cuba, na kuiwezesha Tanzania […]

MBOLEA HAI KUZALISHWA TANZANIA Read More »

“Kuzuia rushwa ni jukumu lako na langu, tutimize wajibu wetu.” Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), wametoa mafunzo ya namna ya kupambana na rushwa mahala pa kazi na nje ya mahala pa kazi kwa wafanyakazi wa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC). Wafanyakazi wa NDC wamepitishwa kufahamu aina za rushwa, namna ya kutambua

Read More »

NAIBU KATIBU MKUU VIWANDA AFANYA ZIARA KIWANDA CHA TBPL

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Suleiman Serera amefanya ziara ya kikazi kwenye kiwanda cha kuzalisha bidhaa za kibaiolojia – Tanzania Biotech Products Limited (TBPL), kilichopo Kibaha mkoani Pwani. Wakati wa ziara yake hiyo, Dkt. Serera amepokelewa na mwenyeji wake Dkt. Nicolaus Shombe, Mkurugenzi Mwendeshaji wa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC),

NAIBU KATIBU MKUU VIWANDA AFANYA ZIARA KIWANDA CHA TBPL Read More »

NDC YASHIRIKI UZINDUZI WA DAWA YA KUTOKOMEZA KISUKARI

Mkurugenzi Mwendeshaji wa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC), Dkt. Nicolaus Shombe amezindua dawa ya kupambana na ugonjwa wa kisukari, inayozalishwa na kiwanda cha Labiofam cha nchini Cuba. Hafla hiyo imefanyika wakati wa Maonesho ya 40 ya Biashara ya Kimataifa ya Havana – Cuba yanayofanyika kwa siku 4, kuanzia tarehe 4 mpaka 9 Novemba, 2024.

NDC YASHIRIKI UZINDUZI WA DAWA YA KUTOKOMEZA KISUKARI Read More »

NDC YAVUTIA UWEKEZAJI WA DOLA MILIONI 77.45 KATIKA MRADI WA CHUMA WA MAGANGA MATITU

Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) limeandika historia mpya kwa kusaini mkataba wa uwekezaji na kampuni ya Fujian Hexingwang, ambao unahusisha uchimbaji wa madini ya chuma. Uwekezaji huu wa kwanza wa aina yake unatarajiwa kufungua fursa mbalimbali za kiuchumi kwa wakazi wa Ludewa, mkoa wa Njombe, na kwa Taifa kwa ujumla. Mkataba huu umesainiwa mjini

NDC YAVUTIA UWEKEZAJI WA DOLA MILIONI 77.45 KATIKA MRADI WA CHUMA WA MAGANGA MATITU Read More »

KITILA MKUMBO AZINDUA ZOEZI LA ZOEZI LA KUANGAMIZA MBU JIMBO LA UBUNGO

Waziri wa Uwekezaji Mhe. Prof. Kitila Mkumbo amezindua rasmi zoezi la unyunyiziaji wa dawa za viuadudu vinavyozalishwa na kiwanda cha TBPL kilichoko Kibaha mkoani Pwani kwa ajili ya unyunyiziaji katika jimbo la uchaguzi la Ubungo ikiwa ni hatua ya kuunga mkono juhudi za serikali katika kupambana na magonjwa yaenezwayo na mbu ikiwemo Malaria, Kikungunya pamoja

KITILA MKUMBO AZINDUA ZOEZI LA ZOEZI LA KUANGAMIZA MBU JIMBO LA UBUNGO Read More »

UZALISHAJI WA BIDHAA ZA KIBAIOLOJIA KUONGEZEKA

Makamu wa Rais wa Cuba, Mhe. Salvador Valdes Mesa amesema Serikali ya Cuba itaendelea kutoa utaalam kwa kiwanda cha kuzalisha bidhaa za Kibaiolojia – Tanzania Biotech Products Limited (TBPL) cha Kibaha – Pwani, ili kizalishe bidhaa nyingi za kibaiolojia mbali na uzalishaji wa viuadudu vya kuangamiza mazalia ya mbu na viuatilifu vya kupambana na wadudu

UZALISHAJI WA BIDHAA ZA KIBAIOLOJIA KUONGEZEKA Read More »