THIURISAVE – 24 YAZINDULIWA RASMI
THIURISAVE – 24 YAZINDULIWA RASMI Read More »
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo amefanya ziara ya kikazi Kiwanda cha kutengeneza vipuri na mashine na mitambo mbalimbali cha @kmtctanzania kinachomilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kilichopo Mkoani Kilimanjaro. Wafanyakazi wa KMTC wakiendela na shughuli za uzalishaji ndani ya kiwanda cha KMTC Akiwa kiwandani hapo, Mhe. Jafo amejionea
JAFO AKOSHWA NA SHUGHULI ZA KMTC Read More »
Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) limeandika historia mpya kwa kusaini mkataba wa uwekezaji na kampuni ya Fujian Hexingwang, ambao unahusisha uchimbaji wa madini ya chuma. Uwekezaji huu wa kwanza wa aina yake unatarajiwa kufungua fursa mbalimbali za kiuchumi kwa wakazi wa Ludewa, mkoa wa Njombe, na kwa Taifa kwa ujumla. Mkataba huu umesainiwa mjini
NDC YAVUTIA UWEKEZAJI WA DOLA MILIONI 77.45 KATIKA MRADI WA CHUMA WA MAGANGA MATITU Read More »
Waziri wa Uwekezaji Mhe. Prof. Kitila Mkumbo amezindua rasmi zoezi la unyunyiziaji wa dawa za viuadudu vinavyozalishwa na kiwanda cha TBPL kilichoko Kibaha mkoani Pwani kwa ajili ya unyunyiziaji katika jimbo la uchaguzi la Ubungo ikiwa ni hatua ya kuunga mkono juhudi za serikali katika kupambana na magonjwa yaenezwayo na mbu ikiwemo Malaria, Kikungunya pamoja
KITILA MKUMBO AZINDUA ZOEZI LA ZOEZI LA KUANGAMIZA MBU JIMBO LA UBUNGO Read More »
Makamu wa Rais wa Cuba, Mhe. Salvador Valdes Mesa amesema Serikali ya Cuba itaendelea kutoa utaalam kwa kiwanda cha kuzalisha bidhaa za Kibaiolojia – Tanzania Biotech Products Limited (TBPL) cha Kibaha – Pwani, ili kizalishe bidhaa nyingi za kibaiolojia mbali na uzalishaji wa viuadudu vya kuangamiza mazalia ya mbu na viuatilifu vya kupambana na wadudu
UZALISHAJI WA BIDHAA ZA KIBAIOLOJIA KUONGEZEKA Read More »
The National Development Corporation (NDC) has participated in a special health check campaign held at Mnazi Mmoja grounds in Dar es Salaam. The campaign brought together citizens from various areas of the city with the aim of getting their health checked and receiving free treatment for diseases. Speaking at the campaign, the Director of Finance
NDC PARTICIPATES IN THE HEALTH CHECK CAMPAIGN Read More »