MNADA WA ZAO LA MPIRA
Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) linautaarifu umma kuwa kwa hivi sasa litakuwa linatangaza mara kwa mara mnada kwa ajili ya uuzaji wa zao la mpira kulingana na upatikanaji wake kutoka mashamba yake mawili ya mpira yaliyopo Kihuhwi mkoani Tanga na Kalunga mkoani Morogoro. Tunawaalika washiriki wote wenye nia kushiriki katika mnada huu. Jinsi ya […]
MNADA WA ZAO LA MPIRA Read More »