Jacob Maganga

DR. HASHIL ABDALLAH LAUNCHES NEW TBPL BOARD

The Permanent Secretary of the Ministry of Industry and Trade, Dr. Hashil Abdallah, has officially launched the new Board of Directors for the Tanzania Biotech Products Limited (TBPL), a manufacturing plant located in Kibaha, Pwani region. During the launch, he urged the board to work diligently in supporting the 6th Government under the leadership of […]

DR. HASHIL ABDALLAH LAUNCHES NEW TBPL BOARD Read More »

NDC NA SADC-DFRC KUJENGA USHIRIKIANO

Mkurugenzi Mwendeshaji wa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC), Dkt. Nicolaus Shombe,  amefanya mazungumzo na Bw. Stuart Kufen, Mkurugenzi Mtendaji wa SADC Development Finance Resources Centre (SADC-DFRC), jijini Dar es Salaam kujadili ushirikiano wa kimkakati baina ya NDC na SADC-DFRC katika nyanja ya uandaaji wa miradi na kuongeza ujuzi. Kikao hicho pia kiliudhuriwa na Mkurugenzi

NDC NA SADC-DFRC KUJENGA USHIRIKIANO Read More »

NDC YASHIRIKI KATIKA KAMPENI YA AFYA CHECK

Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) limeshiriki katika kampeni maalum ya Afya Check iliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam, kampeni ambayo imewakutanisha wananchi kutoka maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam kwa lengo la kupima afya zao pamoja na kupatiwa matibabu ya magonjwa bure. Akizungumza katika kampeni hiyo Mkurugenzi wa

NDC YASHIRIKI KATIKA KAMPENI YA AFYA CHECK Read More »

NDC, TEMDO KUENDELEZA USHIRIKIANO

Mkurugenzi Mwendeshaji wa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC), Dkt. Nicolaus Shombe amefanya mazungumzo  na  Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Zana za Kilimo na Teknlojia Vijijini, (CAMARTEC), Mha. Pythias Ntela, kikao kilicho dhamiria kuongeza uzalishaji wa vipuri vya mashine pamoja na vyombo vya moto kupitia kiwanda cha KMTC kiwanda kilichopo mkoani Kilimanjaro. Mkurugenzi Mwendeshaji

NDC, TEMDO KUENDELEZA USHIRIKIANO Read More »

LIGANGA, MCHUCHUMA MAMBO MSWANO

Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan amewahakikishia Watanzania  kuanza  kwa utekelezaji wa miradi mikubwa wa Liganga na Mchuchuma Wilayani Ludewa Mkoani Njombe baada ya kuanza ulipaji fidia kwa wananchi. Akizungumza kwa njia ya simu na wananchi wakati wa hafla ya uzinduzi wa zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi waliopisha maeneo yenye

LIGANGA, MCHUCHUMA MAMBO MSWANO Read More »