MAFANIKO YA NDC CHINI YA SERIKALI YA AWAMU YA SITA.
Kwa miaka mingi, NDC imekuwa ikitekeleza majukumu mbalimbali muhimu katika maendeleo ya kiuchumi ya nchi. Chini ya uongozi wa Rais Mhe Dk Samia Suluhu Hassan, NDC imeendelea kutekeleza majukumu muhimu katika maendeleo ya kiuchumi ya Tanzania, ikilenga hasa kwenye ujenzi wa viwanda, utengenezaji wa ajira na kuvutia uwekezaji wa kigeni. NDC inatekeleza haya ikiwa ni […]
MAFANIKO YA NDC CHINI YA SERIKALI YA AWAMU YA SITA. Read More »