MKURUGENZI NDC ATOA NENO KWA CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA CBE
Mkurugenzi mwendeshaji wa shirika la Taifa Maendeleo NDC Dk Nicolaus Shombe amekishauri chuo cha elimu ya Biashara CBE kuhakikisha kinatengeneza mitaala ya kufundishia inayoendana na mazingira ya biashara yaliyopo duniani hivi sasa. Dk Shombe ameyasema haya jijini Dar es Salaam wakati alipoalikwa kuwa mgeni maalum katika shughuli ya CEOs Breakfast tukio ambalo liliwakutanisha wakuu wa […]
MKURUGENZI NDC ATOA NENO KWA CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA CBE Read More »