JAFO AKOSHWA NA SHUGHULI ZA KMTC
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo amefanya ziara ya kikazi Kiwanda cha kutengeneza vipuri na mashine na mitambo mbalimbali cha @kmtctanzania kinachomilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kilichopo Mkoani Kilimanjaro. Wafanyakazi wa KMTC wakiendela na shughuli za uzalishaji ndani ya kiwanda cha KMTC Akiwa kiwandani hapo, Mhe. Jafo amejionea […]
JAFO AKOSHWA NA SHUGHULI ZA KMTC Read More »










